JamiiCheck imefuatilia Uhalisia wa Picha za Boniface Mwangi zilizosambazwa Mtandaoni zikimuonesha akiwa na majeraha zikidaiwa kuwa ni za tukio la Mei 22, 2025 na kubaini kuwa ni Upotoshaji.

Kwa kutumia nyenzo ya Kimtandao ya #TinEye, JamiiCheck imejiridhisha kuwa picha hizo zilichapishwa na Mwangi Aprili 21, 2025 katika mtandao wake wa X akielezea tukio la kushambuliwa kwake na aliowataja kuwa ni Polisi wa Nairobi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *