
Timu ya Taifa ya Ufaransa imeibuka na ushindi wa 4-1 dhidi ya Norway katika dimba la Boston, Massachusetts Marekani huku Simba wa Teranga, Senegal wakichomoza na ushindi mnono wa 5-0 dhidi ya Iraq kwenye michezo wa Kundi I wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026.
Ushindi wa Senegal umefufua matumaini yake ya kufuzu hatua ya 32 bora kupitia nafasi ya timu 8 zilizomaliza nafasi ya tatu ‘best loser’ kwani kwa sasa ipo nafasi ya 5 kwenye msimamo wa ‘best loser’
FT: Norway ๐ณ๐ด 1-4 ๐ซ๐ท France
โฝ 07′ Dembele (๐
ฐ๏ธ Mbappe)
โฝ 20′ Dembele (๐
ฐ๏ธ Mbappe)
โฝ 32′ Dembele ๐
ฐ๏ธ Tchouameni)
โฝ 90+4′ Douรฉ (๐
ฐ๏ธ Barcola)
โฝ 21′ Thelo Aasgaard
FT: Senegal ๐ธ๐ณ 5-0 ๐ฎ๐ถ Iraq
โฝ 04′ Diarra
โฝ 56′ Sarr
โฝ 59′ Gueye
โฝ 71′ Gueye
โฝ 82′ Ndiaye
๐ฅ 14′ Sulaka
MSIMAMO KUNDI I
1. ๐ซ๐ท France โ pointi 9 (+8)
2. ๐ณ๐ด Norway โ pointi 6 (+1)
3. ๐ธ๐ณ Senegal โ pointi 3 (+2)
3. ๐ฎ๐ถ Iraq โ pointi 0 (-11)
