“Nimeandika na kufuta mara nyingi leo, ila, ‘napendekeza’ siku nyingine bingwa awe anateuliwa tu na CAF tusipotezeane muda.” – Hamis Mwinjuma, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo baada ya mchezo wa Simba SC dhidi ya RS Berkane
Habari Mbali Mbali za Udaku, Michezo na Siasa Kutoka Tanzania
“Nimeandika na kufuta mara nyingi leo, ila, ‘napendekeza’ siku nyingine bingwa awe anateuliwa tu na CAF tusipotezeane muda.” – Hamis Mwinjuma, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo baada ya mchezo wa Simba SC dhidi ya RS Berkane