Ujerumani Yaishushushia Curacao Mvua ya Magoli Kombe la Dunia

German Vs Curacao
German Vs Curacao

Mabingwa mara nne wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA, Ujerumani wameitolea uvivu Curacao baada ya kuishindilia jumla ya magoli 7-1 kwenye mchezo wa Kundi E wa michuano hiyo.

Ujerumani imepata ushindi huo mkubwa zaidi kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2026 mpaka sasa mchezo uliopigwa katika dimba la NRG Houston, Texas.

FT: Germany 🇩🇪 7-1 🇨🇼 Curacao
⚽ 06’ Nmecha
⚽ 38’ Schlotterbeck
⚽ 45+5’ Havertz (P)
⚽ 47’ Musiala
⚽ 68’ Brown
⚽ 78’ Undav
⚽ 88’ Havertz

Related Posts