
Mabingwa mara nne wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA, Ujerumani wameitolea uvivu Curacao baada ya kuishindilia jumla ya magoli 7-1 kwenye mchezo wa Kundi E wa michuano hiyo.
Ujerumani imepata ushindi huo mkubwa zaidi kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2026 mpaka sasa mchezo uliopigwa katika dimba la NRG Houston, Texas.
FT: Germany 🇩🇪 7-1 🇨🇼 Curacao
⚽ 06’ Nmecha
⚽ 38’ Schlotterbeck
⚽ 45+5’ Havertz (P)
⚽ 47’ Musiala
⚽ 68’ Brown
⚽ 78’ Undav
⚽ 88’ Havertz
