Waafrika, Cape Verde Wakataa Unyonge Kombe la Dunia, Waisimamisha Uruguay

 Cape Verde
Cape Verde

Waafrika, Cape Verde wameendelea kukataa unyonge kwenye Michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 baada kuilazimisha Spain  sare tasa kabla ya kutoshana nguvu na Uruguay kwenye sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi H katika dimba la Miami, Florida Marekani.

FT: Uruguay 🇺🇾 2-2 🇨🇻 Cape Verde
⚽ 44’ Araujo
⚽ 45+6’ Canobbio

⚽ 21’ Lenini
⚽ 61’ Varela

MSIMAMO KUNDI H (baada ya mechi mbili)
1. 🇪🇸 Spain 4
2. 🇺🇾 Uruguay 2
3. 🇨🇻 Cape Verde 2
4. 🇸🇦 Saudi Arabia 1

Related Posts