Uholanzi Yashindwa Kutamba Mbele ya Japan Kombe la Dunia

Uholanzi vs Japan
Uholanzi vs Japan

Timu ya Taifa ya Uholanzi imeshindwa kutamba dhidi ya Japan kufuatia sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi F wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 katika dimba la AT&T Texas, Marekani

FT: Netherlands 🇳🇱 2–2 🇯🇵 Japan
⚽ 51’ Virgil van Dijk
⚽ 64’ Summerville

⚽ 57’ Nakamura
⚽ 88’ Kamada

Related Posts