
Timu ya Taifa ya Uholanzi imeshindwa kutamba dhidi ya Japan kufuatia sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Kundi F wa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA 2026 katika dimba la AT&T Texas, Marekani
FT: Netherlands 🇳🇱 2–2 🇯🇵 Japan
⚽ 51’ Virgil van Dijk
⚽ 64’ Summerville
⚽ 57’ Nakamura
⚽ 88’ Kamada
