Kocha Fadlu Davids wa Simba Sports Club, ametangazwa kuwa kocha bora wa mwezi wa nane (8).
Fadlu Davids ameiongoza Simba akitika michezo miwili ya Ligi na kushinda michezo yote akikamata usukani wa jedwali la msimamo wa Ligi Kuu.
Habari Mbali Mbali za Udaku, Michezo na Siasa Kutoka Tanzania
Kocha Fadlu Davids wa Simba Sports Club, ametangazwa kuwa kocha bora wa mwezi wa nane (8).
Fadlu Davids ameiongoza Simba akitika michezo miwili ya Ligi na kushinda michezo yote akikamata usukani wa jedwali la msimamo wa Ligi Kuu.